Hatua za Ukuaji wa Kiroho

ebook

By Rev. David R. Wallis

cover image of Hatua za Ukuaji wa Kiroho

Sign up to save your library

With an OverDrive account, you can save your favorite libraries for at-a-glance information about availability. Find out more about OverDrive accounts.

   Not today

Find this title in Libby, the library reading app by OverDrive.

Download Libby on the App Store Download Libby on Google Play

Search for a digital library with this title

Title found at these libraries:

Library Name Distance
Loading...
Hiki ni kitabu ambacho ni msaada mkubwa sana kwa waamini, kwani kinatoa funguo muhimu na kweli muhimu zitakazomsaidia mwamini kukua katika kumjua Mungu. Kimejawa na miongozo mingi yenye kufaa katika mazingira halisi na ya kimaandiko, inayohusu ukuaji wa kiroho wa mwamini. Masomo yaliyotajwa hapo chini yametazamwa kwa upana:
  • Nini maana ya kuokolewa

  • Umuhimu wa Neno la Mungu

  • Ubatizo wa maji, agizo

  • Maombi, kipaumbele

  • Umuhimu wa ushirika

  • Umuhimu wa neema ya Mungu

  • Ukombozi kutoka katika vifungo

  • Kujawa na Roho Mtakatifu

  • Inapendekezwa kwamba wachungaji, walimu, na viongozi wa kanisa wakitumie kitabu hiki. Kitabu hiki ni muhtsari wenye kujitosheleza kwa mada zenye kufaa ambazo zitajenga msingi mzuri kwa waamini. Pia, kitakupatia mpangilio mzuri wa muundo wa ufundishaji utakaokusaidia kuwafundisha na kuwafunza wale wote ambao Mungu amekupatia dhamana ya kuwalea.
    Hatua za Ukuaji wa Kiroho