Kama Ndugu Yako Akitenda Dhambi

ebook

By F. Wayne Mac Leod

cover image of Kama Ndugu Yako Akitenda Dhambi

Sign up to save your library

With an OverDrive account, you can save your favorite libraries for at-a-glance information about availability. Find out more about OverDrive accounts.

   Not today
Libby_app_icon.svg

Find this title in Libby, the library reading app by OverDrive.

app-store-button-en.svg play-store-badge-en.svg
LibbyDevices.png

Search for a digital library with this title

Title found at these libraries:

Loading...

Hatuwezi kuepuka kabisa matatizo yanayotokea kati ya mshirika na mshirika kama inavyokuwa kati ya watoto wetu katika familia. Bwana Yesu alijua ya kuwa mgongano hauna budi kutokea ndiyo maana akatoa namna ya kukabiliana nayo katika maadiko. Kwa umuhimu wa pekee kabisa katika maandiko kutoka Mathayo 18:15-17. Kifungu hiki kinatuonyesha jinsi ya kukabiliana na matatizo baina ya muumini na muumini. Vinatoa jinsi iliyosalama katika kumrejesha ndugu aliyeanguka na kuwatia moyo washirika wa kawaida, ili kutilia maanani suala la kuwarejesha na kuwasaidia ndugu walioanguka ili kuwatia moyo katika wakati wao wa udhaifu.

Kitabu hiki kinachunguza mafundisho ya Yesh katika somo hili no kutuonyesha jinsi tunavyowesa kuyatumia katika misukosuko mbalimbali tunayokutana nayo.

Kama Ndugu Yako Akitenda Dhambi