Mbaraka Mwinshehe na Muziki wa Rumba Tanzania

ebook

By Marwa

cover image of Mbaraka Mwinshehe na Muziki wa Rumba Tanzania

Sign up to save your library

With an OverDrive account, you can save your favorite libraries for at-a-glance information about availability. Find out more about OverDrive accounts.

   Not today
Libby_app_icon.svg

Find this title in Libby, the library reading app by OverDrive.

app-store-button-en.svg play-store-badge-en.svg
LibbyDevices.png

Search for a digital library with this title

Title found at these libraries:

Loading...

Mbaraka Mwinshehe Mwaruka ni moja ya wanamuziki nyota kuwahi kutokea Tanzania. Mwanamuziki huyu alikuwa na kipaji kikubwa cha kupiga gitaa la solo, ala zingine, kutunga na kuimba. Kutokana na utunzi wake wa nyimbo za kusisimua, alijizolea wapenzi wengi wa muziki Afrika Mashariki na ya kati, akipiga zaidi muziki wa mtindo wa rumba, mtindo ambao asili yake ni kutoka Cuba na nchi zingine za Marekani ya kusini. Katika uhai wake, alishiriki kupiga muziki katika bendi za Morogoro jazz na Super Volcano zote za mjini Morogoro. Kitabu hiki Kinaanza kwa kuelezea kuingia kwa muziki wa rumba toka Cuba wakati huo Tanganyika na kuenea kwake, kinajikita zaidi kuelezea mchango wa mwanamuziki Mbaraka Mwinshehe Mwaruka, katika kuundeleza na kuimarisha muziki huu wa rumba, kama sehemu ya juhudi za kuinua utamaduni wa taifa jipya la Tanzania na changamoto alizopitia.

Mbaraka Mwinshehe na Muziki wa Rumba Tanzania